Thursday, April 02, 2025 - Tanzanian music sensation, Naseeb Abdul Juma, better known as Diamond Platnumz, has opened up about his visit to disgraced rapper Sean “P Diddy” Combs’ residence in the United States, offering fans a rare behind-the-scenes glimpse into his interactions with global stars.
Speaking to Wasafi FM, Diamond credited legendary producer
Swizz Beatz as a mentor and supporter.
He recalled how Swizz personally drove him for two hours
from Los Angeles to Diddy’s home.
“Ilikua
positive kwenye kila kitu ndo maana mbaka tukaenda kwake na tukaenda unajua na
Swizz Beats na kutoka kwake LA mbaka kwake ni kuendesha masaa mawili alafu
Swizz Beats ndo alikua anaendesha ndo ujue yani mapenzi makubwa, unajua kama
mtu anaendesha masaa mawili kufika kwa Diddy.” He reveald.
At Diddy’s studio, Diamond witnessed a new artist recording
alongside others and even spotted Diddy’s children.
“Tulitoka tukaenda kwa Diddy… kukakuwa na msanii wake
mpya anarecord… watoto wake walikuwepo pia,” he shared.
Adding: “Kutoka hapo tukashuka kwenye swimming pool,
tukakula chakula kwa pamoja.”
“Baada ya
hapo sisi tukaondoka tukaenda zetu,”
He further revealed that Diddy had followed him on social
media even before his U.S trip, a gesture he interpreted as respect for
Tanzanian music.
“Kwanza
unajua Diddy alinifollow kabla ata sijaenda Marekani, so ina maana ni mtu
ambaye anatambua mziki wangu, anatambua shuguli zangu na kwa namna moja
nyingine amependezewa na mziki wa Kitanzania,” he said.
This wasn’t Diamond’s first encounter with Diddy. Back in
2021, he attended one of Diddy’s infamous pre–Independence Day parties, hinting
that certain moments remain private.
“Kuna mambo tulikua tunafanya… Tuseme yaliofanyika sio ya kupost
sababu yana future inayoendelea mbele.”
However, Diamond steered clear from the controversies linked
to Diddy and the shocking allegations about his infamous parties which saw him
convicted, and he is currently in jail.
The Kenyan DAILY POST

0 Comments